UONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI DMI WAPIGWA MSASA
Aug 25, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam leo kupitia Ofisi ya mshauri wa wanafunzi  kimetoa  semina kwa viongozi wapya wa serikali ya wanafunzi wa chuo...

Read More
WADAU WA ELIMU WAKUTANA KUTOA MAONI JUU YA MITAALA.
Aug 24, 2023

Wadau Elimu ya juu nchini leo wamekutana katika  Chuo cha Bahari Dar es Salaam kwenye ukumbi wa chuo (Hall 2) kutoa maoni yao kuhusu  mitaal...

Read More
WATUMISHI TUDUMISHE USHIRIKIANO KAZINI- DKT TUMAINI
Aug 18, 2023

Watumishi wa Chuo Cha Bahari Dar es salaam (DMI) wamehimizwa kudumisha ushirikiano ili waweze kutekeleza majukumu ya Taasisi kupitia bajeti iliyopangw...

Read More
HONGERA DMI KWA KUENDELEA KUTOA MAFUNZO YA UBAHARIA KWA MAENDELEO YA UCHUMI WA B...
Aug 04, 2023

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (MB), amekipongeza Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kwa kuendelea kutoa mafunzo ya Ubaha...

Read More
DMI: MAFUNZO YA BAHARI YAIMARIKA KIMATAIFA
Jul 28, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimeendelea kuimarisha ushirikiano na mataifa ya nje katika kutoa mafunzo ya vitendo melini kwa wanafunzi wake....

Read More
DMI YATOA VYETI KWA WAHITIMU TISA (9) WALIODHAMINIWA NA FAO
Jul 10, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam leo kimetoa vyeti kwa wanafunzi 9 kutoka Tanzania, Kenya na Uganda waliodhaminiwa na Shirika la Chakula na Kilimo Dunian...

Read More
UCHUMI WA BULUU NI FURSA, WATANZANIA JITOKEZENI KUCHANGAMKIA.
Jun 27, 2023

Waziri wa Uchumi wa Bluu na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,Mhe.Suleiman Masoud Makame, amewaasa Watanzania kujitokeze kwa wingi kuchangamk...

Read More
VIJANA WAKIKE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO KATIKA SEKTA YA USAFIRI WA MA...
Jun 25, 2023

  Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Hassan Masala , akisoma taarifa ya kufungwa kwa maadhimisho ya siku ya mabaharia Duniani leo kwenye viwanja vy...

Read More
MABAHARIA WAMETAKIWA KUWA MABALOZI WA KULINDA NA KUTUNZA MAZINGIRA YA MAJI NA KU...
Jun 23, 2023

Tuunge mkono juhudi na kuwa mabalozi wazuri wa kulinda mazingira ya maji ili yaweze kututunza sisi pamoja na rasilimali zinazopatikana katika maji....

Read More
MAADHIMISHO YA SIKU YA MABAHARIA DUNIANI YATUMIKE KUJADILI HALI ZA MABAHARIA KW...
Jun 23, 2023

Serikali imewataka wadau wa Sekta ya Uchukuzi kwa njia ya maji Nchini kutumia fursa ya maadhimisho ya siku ya Mabaharia Duniani kujadili na kutafakari...

Read More
DMI,TASAC NA MAMLAKA YA BAHARI YA BAHAMAS LONDONI UINGEREZA KUSHIRIKIANA KUKUZA...
Jun 06, 2023

Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), Dkt. Tumaini Shabani Gurumo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Bw. Kaimu A....

Read More
WOMESA WAENDESHA MAFUNZO JINSI YA KUFIKIA MALENGO KWA WANAFUNZI WA KIKE WA DMI
May 20, 2023

Umoja wa wanawake waliopo kwenye Sekta ya Bahari na Bandari (womesa) jana tarehe 19 wameendesha semina ya mafunzo kwenye ukumbi wa 6 uliopo Chuo cha B...

Read More