Wanafunzi wa DMI wakiwa kwenye maafunzo ya Mbinu ya uokozi binafsi (personal survival technique) kwa vitendo, kozi ambayo ni ya lazima kwa kila Baharia.
DMI tunashiriki maonesho ya Vyuo Vikuu Zanzibar kuanzia tarehe 15-21 Julai, 2024
Mabaharia wa DMI wakiwa kwenye Picha ya pamoja
Katika picha ni Mtambo wa Kisasa wa Crane Simulator wa kufundishia kozi ambazo utendaji kazi wake ni maeneo ya Bandari, Viwandani na Migodini.
Tunakaribisha mabaharia kujiunga na masomo ya lugha ya Kiingereza kupitia kituo cha English Marlins Test kilichopo DMI
Mwanafunzi wa Stashahada ya Uhandisi wa Mafuta na Gesi (Basic technician Certificate in Oil and Gas Engineering) akiwa katika somo la Mafunzo kwa vitendo ya Kulehemu na Utengenezaji wa Chuma (Welding and metal fabrication)
Dirisha la maombi ya usajili kwa ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada na Shahada ya uzamili limefunguliwa, karibu ujiunge kupitia oas.dmi.ac.tz
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (wa tatu kulia) akimsikiliza mwanafunzi wa DMI alipotembelea banda la DMI kwenye maonesho ya Kongamano la tatu la Uchumi wa Buluu katika Ukumbi wa JNICC, Dar es Salaam
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko