Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam, Dr. Tumain Gurumo (Kulia), Waziri wa Uchumi wa Bluu na Uvuvi Mhe. Suleiman Makame (Katikati) na Mwenyekiti wa Bodi – DMI (Kushoto) wakifuatilia mada katika kongamano la Uchumi wa Bluu
Washiriki wa Kongamano la Uchumi wa Bluu ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere wakifuatilia mada mbalimbali
Waziri wa Uchumi wa Bluu na Uvuvi Mhe. Suleiman Masoud Makame – Kutoka Serikali ya Zanzibar (Kuli) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi – DMI Capt. Bupamba siku ya kufunga Kongamano la Uchumi wa Bluu.
Balozi wa Seychelles nchini Tanzania Mhe. Maryvonne Pool (Kulia) akiteta na Naibu Waziri Mhe. Mwakibete (Kushoto) wakati wa Kongamano la Uchumi wa Bluu
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (Kulia) akibadilishana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana (DMI) Capt. Ernest Bupamba wakati wa kongamano la Uchumi wa Bluu.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (MB) akifungua Kongamano la Kwanza la Uchumi wa Bluu Tanzania lililoandaliwa na Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko