DMI YAINGIA MKATABA WA KUBADILISHANA UZOEFU NA CHUO CHA ITALY.
Oct 23, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimeingia makubaliano ya Mashirikiano ( MoU) na Chuo cha Italian Shipping Academy Kilichopo nchini Italy. Makub...

Read More
DMI YAWASHUKURU WADAU WA ELIMU YA JUU KWA MICHANGO YA UHUISHAJI MITAALA
Oct 18, 2023

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam Dkt. Wilfred J. Kileo amewashukuru Wadau wa balimbali kwa michango yao waliyoitoa yenye lengo la kuboresha...

Read More
DMI NA NAMIBIA KUJENGA USHIRIKIANO WA KIMAFUNZO
Oct 12, 2023

Uongozi wa Chuo cha Bahari Dar es salaam ukiongozwa na Kaimu Mkuu wa Chuo Eng. Juma Kapaya, leo wamekutana na kufanya mazungumzo yenye lengo la kujeng...

Read More
CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM CHAINGIA MAKUBALIANO NA CHUO CHA BAHARI NA UVUVI C...
Sep 25, 2023

Mkuu wa chuo cha Bahari Dar es Salaama (DMI) Dkt Tumaini Gurumo amesema chuo hicho kimeingia makubaliano ya miaka mitano ya kubadilishana uzoefu wa el...

Read More
DMI YATAKIWA KUHAMASISHA VIJANA WA KIKE KUJIUNGA NA FANI ZA UBAHARIA
Sep 25, 2023

Waziri wa Uchukuzi Mhe.Prof.Makame M. Mbarawa amekitaka Chuo cha Bahari Dar es Salaam kuongeza jitihada za kuhamasisha Vijana wa kike kujiunga na...

Read More
DMI YAZINDUA DAWATI LA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.
Sep 10, 2023

  Uongozi wa Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) umeelekezwa kusaidia dawati la kupinga ukatili wa kijinsia kutekeleza majukumu yake na kuwa e...

Read More
UONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI DMI WAPIGWA MSASA
Aug 25, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam leo kupitia Ofisi ya mshauri wa wanafunzi  kimetoa  semina kwa viongozi wapya wa serikali ya wanafunzi wa chuo...

Read More
WADAU WA ELIMU WAKUTANA KUTOA MAONI JUU YA MITAALA.
Aug 24, 2023

Wadau Elimu ya juu nchini leo wamekutana katika  Chuo cha Bahari Dar es Salaam kwenye ukumbi wa chuo (Hall 2) kutoa maoni yao kuhusu  mitaal...

Read More
WATUMISHI TUDUMISHE USHIRIKIANO KAZINI- DKT TUMAINI
Aug 18, 2023

Watumishi wa Chuo Cha Bahari Dar es salaam (DMI) wamehimizwa kudumisha ushirikiano ili waweze kutekeleza majukumu ya Taasisi kupitia bajeti iliyopangw...

Read More
HONGERA DMI KWA KUENDELEA KUTOA MAFUNZO YA UBAHARIA KWA MAENDELEO YA UCHUMI WA B...
Aug 04, 2023

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (MB), amekipongeza Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kwa kuendelea kutoa mafunzo ya Ubaha...

Read More
DMI: MAFUNZO YA BAHARI YAIMARIKA KIMATAIFA
Jul 28, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimeendelea kuimarisha ushirikiano na mataifa ya nje katika kutoa mafunzo ya vitendo melini kwa wanafunzi wake....

Read More
DMI YATOA VYETI KWA WAHITIMU TISA (9) WALIODHAMINIWA NA FAO
Jul 10, 2023

Chuo cha Bahari Dar es Salaam leo kimetoa vyeti kwa wanafunzi 9 kutoka Tanzania, Kenya na Uganda waliodhaminiwa na Shirika la Chakula na Kilimo Dunian...

Read More