Habari
WANAFUNZI WA DMI WAZIDI KUNG'ARA KOREA
Wanafunzi 5 kutoka chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) wapo nchini Korea ya Kusini wakipata mafunzo miezi mitatu ya vitendo Melini. Mafunzo hayo  ...
Read MoreCHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) KIMESAINI HATI YA MASHIRIKIANO NA SHIRIKA LA...
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini hati ya mashirikiano na Shirika la Kitaifa la Masuala ya Bahari la Muungano wa Comoro (ANAM) katika masu...
Read MoreWADAU WAKUTANA DMI KUHUISHA MITAALA
Wadau wa mambo ya bahari, mafuta na gesi wamekutana katika Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) kujadili na kutoa mapendekezo ya kuhuisha mitaala ya ko...
Read MoreDMI WATAKIWA KUENDELEZA ENEO LA UJENZI WA TAWI LA CHUO LINDI
MKUU wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack ameutaka uongozi wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kuhakikisha wanaendeleza eneo walilopewa na mkoa huo kwa k...
Read MoreELIMU YA UVUVI SALAMA YAWAFIKIA WAVUVI WA LINDI
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) tarehe 19 Agosti kimezindua kampeni inayolenga kutoa elimu ya usalama baharini na shughuli za uvuvi kw...
Read MoreNAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI APONGEZA DMI KUSHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe.David Kihenzile (MB) Leo tarehe 08 ametembelea Banda la Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) wakati wa Maadhimisho ya kile...
Read MoreWANAFUNZI WENGINE WATANO KUSHIRIKI MAFUNZO KWA VITENDO MELINI KOREA KUSINI.
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimefanikiwa kuwapeleka wanafunzi watano kufanya mafunzo kwa vitendo melini katika Chuo cha Bahari cha Korea KIMFT...
Read MoreDMI KUHAMASISHA WANAFUNZI WA KIKE KUJIUNGA NA UBAHARIA
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimewataka wahitimu wanawake wa kidato cha sita cha mwaka huu kujitokeza kujiunga na kada ya ubaharia katika chuo...
Read MoreHIFADHINI VIUMBE NA KULINDA MAZINGIRA YA BAHARINI - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bah...
Read MoreDMI NA GHANA YAUNGANA KUANDAA KONGAMANO LA TATU LA UCHUMI WA BULUU
Moja ya kazi mama ya taasisi ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) ni kuandaa makongamano ya kitaaluma yenye lengo la kuelimisha jamii kuhusu faida y...
Read MoreMABAHARIA KUTOKA CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) WAUNGANA NA MABAHARIA NCHIN...
Timu ya Mabaharia kutoka chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), leo wameungana na mabaharia nchini kwa kufanya usafi katika baadhi ya fukwe zilizopo Bag...
Read MoreCHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) CHASHIRIKI SIKU YA MABAHARIA DUNIANI
Chuo cha Bahari Dar Es Salaam (DMI) kimeshiriki katika maonesho ya Siku ya Mabaharia Duniani ambayo kitaifa yanaadhimishwa katika viwanja vya Nia Njem...
Read More