WANAFUNZI WA DMI WAZIDI KUNG'ARA KOREA
Sep 17, 2024

Wanafunzi 5 kutoka chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) wapo nchini Korea ya Kusini wakipata mafunzo miezi mitatu ya vitendo Melini. Mafunzo hayo &nbsp...

Read More
CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) KIMESAINI HATI YA MASHIRIKIANO NA SHIRIKA LA...
Sep 04, 2024

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini hati ya mashirikiano na Shirika la Kitaifa la Masuala ya Bahari la Muungano wa Comoro (ANAM) katika masu...

Read More
WADAU WAKUTANA DMI KUHUISHA MITAALA
Aug 30, 2024

Wadau wa mambo ya bahari, mafuta na gesi wamekutana katika Chuo cha Bahari Dar es salaam (DMI) kujadili na kutoa mapendekezo ya kuhuisha mitaala ya ko...

Read More
DMI WATAKIWA KUENDELEZA ENEO LA UJENZI WA TAWI LA CHUO LINDI
Aug 22, 2024

MKUU wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack ameutaka uongozi wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kuhakikisha wanaendeleza eneo walilopewa na mkoa huo kwa k...

Read More
ELIMU YA UVUVI SALAMA YAWAFIKIA WAVUVI WA LINDI
Aug 21, 2024

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) tarehe 19 Agosti  kimezindua kampeni inayolenga kutoa elimu ya usalama baharini  na shughuli za uvuvi kw...

Read More
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI APONGEZA DMI KUSHIRIKI MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE
Aug 09, 2024

Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe.David Kihenzile (MB) Leo tarehe 08 ametembelea Banda la Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) wakati wa Maadhimisho ya kile...

Read More
WANAFUNZI WENGINE WATANO KUSHIRIKI MAFUNZO KWA VITENDO MELINI KOREA KUSINI.
Aug 09, 2024

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimefanikiwa kuwapeleka wanafunzi watano kufanya mafunzo kwa vitendo melini katika Chuo cha Bahari cha Korea KIMFT...

Read More
DMI KUHAMASISHA WANAFUNZI WA KIKE KUJIUNGA NA UBAHARIA
Jul 18, 2024

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimewataka wahitimu wanawake wa kidato cha sita cha mwaka huu kujitokeza kujiunga na kada ya ubaharia katika chuo...

Read More
HIFADHINI VIUMBE NA KULINDA MAZINGIRA YA BAHARINI - DKT. BITEKO
Jul 04, 2024

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bah...

Read More
DMI NA GHANA YAUNGANA KUANDAA KONGAMANO LA TATU LA UCHUMI WA BULUU
Jun 27, 2024

Moja ya kazi mama ya taasisi ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) ni kuandaa makongamano ya kitaaluma yenye lengo la kuelimisha jamii kuhusu faida y...

Read More
MABAHARIA KUTOKA CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) WAUNGANA NA MABAHARIA NCHIN...
Jun 23, 2024

Timu ya Mabaharia kutoka chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), leo wameungana na mabaharia nchini kwa kufanya usafi katika baadhi ya fukwe zilizopo Bag...

Read More
CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) CHASHIRIKI SIKU YA MABAHARIA DUNIANI
Jun 23, 2024

Chuo cha Bahari Dar Es Salaam (DMI) kimeshiriki katika maonesho ya Siku ya Mabaharia Duniani ambayo kitaifa yanaadhimishwa katika viwanja vya Nia Njem...

Read More