Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bahari Zanzibar BI. Shekha Mohammed (katikati), Uongozi wa chuo na Uongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa DMI katika picha ya pamoja wakati wa kongamano la pili la kitaaluma (Convocation) tarehe 29 Novemba 2023.
MABAHARIA NA WAKUFUNZI WA CHUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM
MBAHARIA NA WAKUFUNZI WA CHUO CHA BAHRI DAR ES SALAAM
Wahitimu wa Mahafali yA 19 ya Chuo Cha Bahari Dar es Salaam tarehe 30 Novemba 2023
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile (Mgeni Rasmi) akihudhurisha Wahitimu wa Mahafali ya 19 ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam tarehe 30 Novemba 2023.
Tangazo
Mhandisi Mkuu wa Meli na Mkufunzi wa DMI, Deism Mlay akitoa ufafanuzi wa elimu na mafunzo yanayotolewa chuoni kwa wanafunzi katika maonesho ya Elimu ya Vyuo Vikuu Pemba 2023.
Mtaalamu kutoka DMI Bi. Beatrice Nyagusi akitoa maelezo juu ya elimu na mafunzo yanayotolewa chuoni kwa wageni waliotembelea banda la DMI katika maonesho ya TCU 2023.
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Suleiman Makame akihutubia washiriki wa kongamano la pili la uchumi wa buluu lililofanyika kwenye ukumbi wa kimataifa wa JNICC
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko