Mtaalamu kutoka Shirika la Viwango Tanzania Joseph Mziku akitoa mafunzo kwa maofisa wa DMI ya mfumo wa uthibiti ubora wa menejimenti kwa lengo la kuboresha utendaji kazi ili kutoa huduma bora kwa wateja
Wanafunzi wa shahada ya uhandisi wa mitambo ya baharini wakifanya mafunzo kwa vitendo kwenye karakana ya mafunzo iliyopo chuoni DMI
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dkt. Tumaini Gurumo akizungumza wakati wa mahafali ya 18 yaliyofanyika kwenye viwanja vya DMI
Wahitimu wamahafali ya 18 wakielekea kwenye eneo la sherehe za mahafali
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga akiwa katika Chumba cha mitambo (Simulation Room) akijifunza jambo kutoka kwa Mhandisi Isack Lazaro
Wahitimu wa mahafali ya 18 mwaka 2022
Wahitimu baada ya mahafali
Rada ya Kisasa - Live Radar imefungwa Katika Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
Washiriki wa Kongamano la Uchumi wa Bluu ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere wakifuatilia mada mbalimbali
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete (Kulia) akibadilishana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana (DMI) Capt. Ernest Bupamba wakati wa kongamano la Uchumi wa Bluu.
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko