Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mha. Ali Said Bakar amekipongeza Chuo kwa utoaji wa elimu bora wakati alipotembelea banda la DMI kwenye maonesho ya Siku ya Baharia, Kigoma.
CALL FOR PAPERS
Mtambo wa kisasa wa mafunzo kwa vitendo yenye mazingira halisi ya kazi za kreni bandarini
Wanafunzi wa kozi za uhandisi wakifanya mafunzo ya vitendo kwenye karakana ya uhandisi iliyopo chuoni
TANGAZO KUHUSU KITUO CHA MTIHANI CHA LUGHA YA KIINGEREZA KWA MABAHARIA
Mabaharia wakike wakiwa kwenye mtambo wa kisasa wa mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi
Jifunze Ujuzi wa Baharini kwa Fursa za Kimataifa
Wanafunzi wa DMI wakiwa kwenye maafunzo ya Mbinu ya uokozi binafsi (personal survival technique) kwa vitendo, kozi ambayo ni ya lazima kwa kila Baharia.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea mtambo wa kisasa wa mafunzo ya vitendo unaotumika kufundishia uongozaji wa meli, uendeshaji wa mitambo na mawasiliano.
Utoaji wa elimu ya matumizi sahihi ya vifaa vya uokozi kwa wavuvi wanapokuwa kwenye shughuli za uvuvi na Mtaalamu kutoka DMI
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko