Watumishi Wanawake wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam wakipita kwa maandamano ya furaha mbele ya meza ya mgeni rasmi kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika viwanja vya Mnazi mmoja tarehe 8.Machi,mwaka huu
Watumishi wanawake wa Chuo cha Bahari Dar Es Salaam (DMI) wakiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe wa Bodi ya Chuo Dkt.Mwamini Tulli kwenye maadhimisho ya kilele cha siku ya wanawake duniani yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazimmoja Dar es Salaam.
Wajumbe wa Bodi ya Chuo cha Bahari Dar Es Salaam wakipata maelezo ya uboreshaji wa Miundombinu ya Chuo kutoka kwa Meneja wa Mali , Paskazia Tibalenga wa kwanza kushoto.
Wajumbe wa Bodi ya Chuo na timu ya menejimenti wakipata maelezo ya utendaji kazi wa Simulator kutoka kwa Injinia Mlay, walipofanya ziara ya kukagua miundombinu ya ufundishaji ya Chuo tarehe 24 Februari 2023.
Wanafunzi wa Chuo cha Bahari Dar Es Salaam (DMI) Wakijisomea kwenye chumba cha makataba kilichopo chuoni. DMI imeendelea kuboresha miundombinu ya kujifunzia kwa kuwa na Maktaba yenye kuwezesha wanafunzi kujisomea kwa muda wa ziada.
Mtaalamu kutoka Shirika la Viwango Tanzania Joseph Mziku akitoa mafunzo kwa maofisa wa DMI ya mfumo wa uthibiti ubora wa menejimenti kwa lengo la kuboresha utendaji kazi ili kutoa huduma bora kwa wateja
Wanafunzi wa shahada ya uhandisi wa mitambo ya baharini wakifanya mafunzo kwa vitendo kwenye karakana ya mafunzo iliyopo chuoni DMI
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Juma Kipanga akiwa katika Chumba cha mitambo (Simulation Room) akijifunza jambo kutoka kwa Mhandisi Isack Lazaro
Wahitimu baada ya mahafali
Rada ya Kisasa - Live Radar imefungwa Katika Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI)
Kuwa taasisi bora katika mafunzo, utafiti na ushauri katika taaluma za baharini na zinazohusiana
Dira
Kutoa mafunzo ya hali ya juu yanayo endeshwa na mahitaji, utafiti na huduma za ushauri katika taaluma za baharini na taaluma zinazo husiana katika ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara na kwingineko